|
|
Hili ni eneo la hifadhi ya msitu ambalo lilikuwa
likikaliwa na familia mbalimbali. |
|
HII
ni sehemu ya kitalu cha Kikundi Cha Wanawake cha Jiendeleze
moja ya vbikundi vinavyo saidiwa na mradi
|
|
|
|
Matron Msaidizi wa MCT Monduli akipokea Reki Mbili kutoka kwa Mgeni
Rasmi. |
|
Umwagiliaji katika moja ya vitalu , kwa kutunia moja ya vifaa vilivyotolewa na
Mradi. |
|
|
|
22-februari-2000 Tulitembelea moja ya Vitalu binfasi , huko Mto wa Mbu
|
|
Rais Benjamin William Mkapa, Akipnda mche wa mti huko Enguik - Tarehe 18 february 2000.
Alizindua mradi wa Mradi wa Maji wa Vijiji vya Enguik na
Emairete. |
|
|
|
Kondoo na Mbuzi wakinywa MAji katika chanzo cha maji kwenye Hifadhi ya msitu wa ESSIMNGORI.
Tarehe 23 February 2000. |
|
Kijana wa kimasai akiwa na Ofisa mradi wa Monduli , Essimingori tarehe 23 february 2000.
|
|
|
|
Mbunge wa Monduli Mhe. Edward Lowasa , akipanda mche wa mti - tarehe 18 february ,2000. |
|
Tulitembelea Hifadhi ya msitu ya Essimgori - tarehe 23 Februari, 2000. |
|
|
11/9/99-Afisa Mradi wa Monduli akitoa Zawadi kwa kikundi cha dansi cha Ereti, kilicho tumbuiza vizuri wakati wa uzinduzi wa mradi wa Monduli - Huko Enguiki. |
|